Tuesday, September 2, 2025

Nilikuwa Nakosa Hata Kazi Kila Siku ya Hedhi kwa Maumivu Makali Lakini Siri Niliyojua Baadaye Imenibadilishia Maisha

Kila mwezi ulikuwa mateso makali. Hedhi zangu zilipokuwa zikikaribia, nilianza kuhesabu siku kwa hofu badala ya furaha. Maumivu yalikuwa makali kiasi kwamba nilishindwa kuamka kitandani, achilia mbali kuendelea na kazi yangu ya kila siku.

Wenzangu kazini walinishangaa kwa nini nilikuwa nikipotea kila mara kwa siku chache, bila kuelewa nilikuwa napitia balaa la maisha. Nilijaribu kila aina ya dawa, dawa za kupunguza maumivu, na hata tiba za kienyeji, lakini tatizo liliendelea kunitesa.

Continue reading

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

28,000FansLike
16,380FollowersFollow
21,000FollowersFollow
- Advertisement -

Latest Articles