Thursday, September 4, 2025

Nilizoea Kufa Ganzi na Kizunguzungu Kila Asubuhi, Nilidhani Nitakufa Ghafla kwa Pressure Lakini Njia Moja Rahisi Imenirudishia Afya Yangu

Kila asubuhi nilipokuwa naamka nilihisi kizunguzungu cha ghafla na wakati mwingine vidole vya mikono na miguu vilikuwa vinakufa ganzi. Mara nyingi nilibaki kitandani nikiogopa kusimama ghafla kwa sababu nilihisi dunia ikizunguka na mapigo ya moyo kwenda kasi isiyo ya kawaida.

Watu wa familia yangu walidhani labda ni uchovu wa kawaida lakini ndani yangu nilijua kitu hakiko sawa. Niliishi na hofu ya kufa ghafla kila siku kwa sababu nilishaanza kusikia visa vya watu kuanguka na kupoteza maisha kwa shinikizo la damu.

Continue reading

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

28,000FansLike
16,380FollowersFollow
21,000FollowersFollow
- Advertisement -

Latest Articles