Thursday, May 9, 2024

Former Tanzania President Ali Hassan Mwinyi succumbs to cancer

Former President Ali Hassan Mwinyi of Tanzania has on Thursday succumbed to cancer while receiving treatment at a hospital in Dar es Salaam.

Confirming his death was President Samia Suluhu who confirmed to have passed her sincer condolences to the family and friends of the former President as she declared a seven days mourning period.

She continued by saying that during this mourning period, the country’s flag will fly at half mast and that he will be laid to rest on Saturday, 2nd March 2024 in Zanzibar.

- Advertisement -

“Ndugu wananchi, kwa majonzi makubwa nasikitika kutangaza kifo cha Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi, ambaye amefariki dunia leo Alhamisi tarehe 29 Februari mwaka 2024 saa 11:30 jioni, katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena, Dar es Salaam, alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Saratani ya Mapafu.

Kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa msiba huu mkubwa kwa Taifa letu. Nchi yetu itakuwa katika kipindi cha siku saba za maombolezo, ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti kuanzia kesho Machi 1, 2024. Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi atazikwa tarehe 2 Machi 2024 huko Unguja, kisiwani Zanzibar.” she said

Mwinyi ruled Tanzania for ten years from the year 1985 to 1995 after succeeding the country’s founding father Mwalimu Julius Nyerere.

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

2,800FansLike
1,638FollowersFollow
198FollowersFollow
- Advertisement -

Latest Articles